Walimu waruhusiwa kuvaa hijabu Ujerumani

two-muslim-women-1
Mahakama ya katiba nchini Ujerumani imepitisha uamuzi wake kuhusu mavazi ya kiislamu ya wanawake katika jimbo la Bremen walimu walipewa ruhusa ya kuingia darasani wakiwa wamevalia hijabu.
Kulingana na taarifa ya maandishi iliyotolewa na Wizara ya Elimu na Sayansi katika jimbo la Bremen kuwa hakuna haja ya kupigwa marufuku maana mavazi hayo hayahusiani na kitisho cha ugaidi.
Taarifa hiyo ilibainisha kuwa walimu kuvalia hijabu haina hatari yoyote wala hakiwezi kuwa kitisho cha amani kwa shule za Bremen.

Post a Comment

http://www.princetarique.blogspot.com

أحدث أقدم

Comments System

blogger/disqus/facebook

Disqus Shortname

designcart