Garissa:Wanafunzi kuondoa vitu vyao

Chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya
Wanafunzi katika chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya wanatarajiwa kupelekwa chuoni humo ili kundoa vitu vyao kabla ya kupelekwa nyumbani.
Serikali ya Kenya imefunga chuo hicho kufuatia shambulio la siku ya alhamisi ambapo watu 150 waliuawa.
Uchunguzi kuhusu tukio hilo unandelea na watu wawili zaidi wamekamatwa.
Walioshuhudia wanasema kuwa wale waliovamia chuo hicho walizungumza lugha ya kiswahili lakini walionekana kupata ushauri kwa njia ya simu za mkononi
Rais wa Marekani Barack Obama amekitaja kitendo hicho kuwa cha kinyama na kuahidi msaada wake kwa rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.

Post a Comment

http://www.princetarique.blogspot.com

أحدث أقدم

Comments System

blogger/disqus/facebook

Disqus Shortname

designcart