.
.
Hizi ni baadhi picha mastaa hao walizoziweka kwenye akaunti zao za instagram wakiwa katika maandalizi ya filamu hiyo mpya.
Kajala na Quck Rocka wakiwa katika maandalizi ya filamu hiyo.
Wolper,Kajala na Irene Uwoya wakiwa location.
.
.
Kajala,Flora Mvungi na Yusuph Mlela wakiwa location kwenye maandalizi ya filamu hiyo mpya.
.
.
.